Rapa #MeekMill Amesema kwenye Kipindi cha Miaka 13 Alikuwa anapata Asilimia 13 pekee kwenye Muziki wake lakini kwa sasa Anamiliki Kila kitu chake.
2012 Rapa #MeekMill alisainiwa kwenye Lebo ya Founded Dream Chasers chini ya MMG Baada ya hapo kuanzia 2019 Alitoka na kusainiwa na Dream Chasers + Roc Nation JV mpaka 2022 Julai ambapo alianza kufanya kazi zake kama Msanii huru.