Mastaa #DiamondPlatnumz na #Harmonize weamua kurudi kwenye Mashindano ya Muziki, Private Jet zimekaa pembeni kwanza!
Wote wameachia Ngoma Muda mmoja, #Diamond Kaachia wimbo wa Amapiano Unaitwa #DOWN akiwa na #MMANRSA #LINTONTO #MASTERPIECEYVK.
#Harmonize Yeye Ameachia Ngoma yake ya #BESTCOUPLE Akiwa na Staa wa Muziki kutoka Nchini Nigeria #RUDEBOY.